Barua Ya Chahali

Share this post
Madai Kuwa Bashite Alikuwa Dodoma Wakati Mbowe Anashambuliwa
www.baruayachahali.com

Madai Kuwa Bashite Alikuwa Dodoma Wakati Mbowe Anashambuliwa

Evarist Chahali
Jun 9, 2020
Share this post
Madai Kuwa Bashite Alikuwa Dodoma Wakati Mbowe Anashambuliwa
www.baruayachahali.com

Nimekutana na uzi mmoja wa mdau huko Jamii Forums kuhusu uwezekano kwamba Daudi Bashite anahusika na shambulio dhidi ya Mbowe

Leo Jumanne 09 Juni 2020, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, aliandaa Mkutano na Madereva Bodaboda. Sijajua alitaka kuongelea nini, lakini ni kwamba aliwakusanya Madereva wote Bodaboda maeneo ya Leaders Club Wilayani Kinondoni mkoani Dar Es Salaam kuanzaia Saa Mbili asubuhi.

Ilipofika Saa Sita na Nusu bado Mkuu wa Mkoa alikuwa hajafika, kitendo kilichofanya Madereva bodaboda kuanza kulalamika kwamba wanachelewa kwenda kufanya kazi. Akatokea mtu mmoja akaropoka kwamba Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda hatafika kwani yupo Makao Makuu ya Nchi.

Bodaboda kusikia hivyo walianza kutawanyika na kuelekea kwenye Vituo vyao vya kazi. Pamoja na kwamba MC wa Shughuli aliwasihi kurudi na kusubiri Mkuu wa Mkoa afike kwani huwezi jua kawaandalia nini, Waligoma katakata.

Hata hivyo, baada ya muda, yule Jamaa aliyetangaza kwamba Mkuu wa Mkoa hatafika Leaders Club, akakamatwa na Watu wanaodaiwa ni UVCCM wakamkabidhi kwa Polisi ambao walimkimbiza na kumpakia kwenye gari la Polisi.

Swali langu ni: Je, ni kweli Paul Makonda jana alienda Dodoma? Alienda kufanya nini?

Video:

<iframe src="

width="640" height="564" frameborder="0" allow="autoplay; fullscreen" allowfullscreen></iframe>

Tukiachana na tuhuma hizo za mdau, mimi binafsi ninaamini kuwa Magufuli na mwanae Bashite wanahusika kwa asilimia 100 katika unyama huu.

Na wala hakuhitajiki ushahidi kuthibitisha hilo.

Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
#UziwaTwita mfupi kuhusu tukio la kusikitisha na kuudhi dhidi ya M/Kiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa @freemanmbowetz.
Image

June 9th 2020

6 Retweets37 Likes

NB: Kesho nitawasilisha uchambuzi kuhusu tamko la Lissu kuwania Urais na pia kuongelea kwa muktadha kuhusu shambulizi dhidi h Mbowe.

🙏

Comment
Share
Share this post
Madai Kuwa Bashite Alikuwa Dodoma Wakati Mbowe Anashambuliwa
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing