Barua Ya Chahali

Share this post
[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka jana nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa ...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu
www.baruayachahali.com

[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka jana nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa ...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu

Evarist Chahali
Mar 12
1
Share this post
[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka jana nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa ...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu
www.baruayachahali.com

Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli. Kabla ya tangazo langu hilo, tayari kulikuwa na tetesi kadhaa kwamba afya ya kiongozi huyo ilikuwa tete.

Read Barua Ya Chahali in the new Substack app
Now available for iOS

Hata hivyo, kwa kupitia vyanzo vyangu vya kuaminika, nilikuwa mtu wa kwanza kutangaza kifo hicho. Lakini madhila yaliyonikumba baada ya kuweka taarifa hiyo hadharani, sintoyasahau.

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
#BreakingNews: Tanzanian President President John Magufuli has passed away at 5.30pm (EAT) at Mzena Hospital in Dar es Salaam. However, the Vice President hasn't been informed.

March 12th 2021

536 Retweets799 Likes
Twitter avatar for @CisNyakundiCyprian, Is Nyakundi @CisNyakundi
Shock As Ex-Intelligence Officer @Chahali Confirms Magufuli's Death
Shock As Ex-Intelligence Officer Confirms Magufuli’s Death - Cyprian Is NyakundiCAPTION: Tanzanian ex-spy and political analyst Evarist Chahali who has “confirmed” Magufuli’s death through his populous Twitter account Hours after Prime Minister Kassim Majaliwa denied multiple media reports that Tanzanian President John Pombe Magufuli was incapacitated as a result of severe COVI…cnyakundi.com

March 12th 2021

117 Retweets420 Likes

Nilitukanwa, nililaaniwa, nilitishwa, na kwa hakika laiti hao waliokerwa wangeweza kunifikia, bila shaka muda huu ningekuwa marehemu. Lakini sio tu nilitangaza kifo hicho bali pia niliwafahamisha Watanzania kuhusu “ukweli” wa afya ya kiongozi huyo muda wote, huku watu mbalimbali “wakilishwa matango pori” kuwa yupo Nairobi, mara yupo India.

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
My highly trusted source confirms again not only that @MagufuliJP is in Dar but had never left the city in the first place. Both "Magufuli is in Nairobi" and "Magufuli has been flown to India" were TISS' "dezinformatsiya" (disinformation). Is he alive or not? I can't answer that
Image

March 12th 2021

5 Retweets24 Likes

Hatimaye, siku tano baadaye, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati huo, Mama Samia Suluhu Hassan alitangaza kuwa kweli Magufuli amefariki.

Twitter avatar for @millardayomillardayo @millardayo
BREAKING: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefariki dunia, Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu ametangaza taarifa za kifo hicho. #RIPRaisMagufuli 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

March 17th 2021

129 Retweets777 Likes

Nami ikawa ahueni kwangu.

Baadhi ya walionitukana, walikuja kuniomba msamaha japo haikusaidia kitu. Hata hivyo nafarijika kwa kuwatumikia Watanzania wenzangu ipasavyo na kuendelea kuwa chanzo cha kuaminika cha habari mbalimbali.

Kusikiliza maelezo kamili kuhusu kilichojiri hasa siku hiyo hadi msiba ulipotangazwa rasmi, BONYEZA HAPA (dakika 8 tu)

Au sikiliza episode hiyo hapa Spotify

Wikiendi njema

Comment
Share
Share this post
[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka jana nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa ...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing