
Machi Mosi mwaka huu, siku moja baada ya kifo cha mmoja wa watu maarufu nchini Tanzania, Ruge Mutahaba, aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema/UKAWA katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Edward Lowassa alitangaza kurudi CCM.
Uamuzi huo wa Lowassa ulipokelewa kwa mshtuko mkubwa hasa kwa vile akili ya Watanzania wengi ilielekezwa kwenye msiba wa Ruge.
…

