Ameandika Tundu Lissu kumjibu Kigogo
Vitu ambacho Kigogo hajasema:
๐1. ANC walihamisha Makao Makuu yake nje ya Afrika Kusini na viongozi wake kukimbilia uhamishoni mwaka 1960 baada ya ANC kupigwa marufuku. CHADEMA haijapigwa marufuku bado.
๐2. Ilikuwa rahisi kwa ANC kufungua ofisi na kuendesha shughuli zake nje ya Afrika Kusini kwa sababu utawala wa maโฆ


