Licha Ya Uchafuzi Unaofanywa Mtandaoni Dhidi Yake, Wasifu Huu Kuhusu Rostam Aziz Unaonyesha Mchango Wake Mkubwa Kwa Tanzania Yetu
Jana niliweka taarifa za kukanusha tuhuma zinazosambazwa mtandaoni kuhusu mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz, ambazo wahusika wamezifanya zionekane zinatoka kwangu.