Barua Ya Chahali
Jasusi
Leo Ni Miaka Mitatu Kamili Tangu Haramia Musiba Anitaje Mie Na Wenzangu Kadhaa Kuwa WATU HATARI
0:00
-9:01

Leo Ni Miaka Mitatu Kamili Tangu Haramia Musiba Anitaje Mie Na Wenzangu Kadhaa Kuwa WATU HATARI

Tarehe 25.02.2018, siku kama ya leo, miaka mitatu iliyopita, mbwa wa Magufuli, haramia Musiba, alinituhumu jasusi wako na watu wengine kadhaa kuwa ni WATU HATARI kwa usalama wa taifa, na kudai tulikuwa tukitumiwa na FBI kutaka kumpindua Magufuli

0 Comments