Jana jioni nilikutana na twiti iliyoashiria kuwa Dokta Mwele Malecela hayupo nasi tena duniani. Sikutaka kuamini, ikabidi niende kwa Mange kupata uhakika huku nikiomba taarifa hizo za kifo zisiwe kweli. Unfortunately, it was and it is true. Yaani kama ndoto vile, only that it isn't.
Moja ya kumbukumbu muhimu kwangu kuhusu Dokta Mwele ni mwaka 2015 alipoβ¦

