Kwa minajili ya kumbukumbu: yajue masuala 22 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, la 11 ni BANDARI 🤔
YAJUE MAMBO 22 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa Aprili 26, 1964 ikiwa ni Muungano wa Mataifa mawili huru ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambapo Jamhuri hizi mbili ziliingia mkataba wa Muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzishwa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katiba ya Jamhuri ya M…