Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Kwa mara ya kwanza ktk historia TZ, Jaji amtuhumu Rais kuvunja Katiba: uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tuhuma za Jaji Stella Mugasha vs Rais Samia kumuongezea mkataba Jaji Mkuu aliyepaswa kustaafu
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Kwa mara ya kwanza ktk historia TZ, Jaji amtuhumu Rais kuvunja Katiba: uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tuhuma za Jaji Stella Mugasha vs Rais Samia kumuongezea mkataba Jaji Mkuu aliyepaswa kustaafu

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 28, 2023
∙ Paid
4

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Kwa mara ya kwanza ktk historia TZ, Jaji amtuhumu Rais kuvunja Katiba: uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tuhuma za Jaji Stella Mugasha vs Rais Samia kumuongezea mkataba Jaji Mkuu aliyepaswa kustaafu
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Jana ilisambaa barua iliyoelezwa kuandikwa na Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani ikitamka bayana kuwa Rais Samia Suluhu amevunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma ambaye alipaswa kustaafu baada ya kutimiza muda wa ksuataafu tarehe 15/06/2023.

Soma barua husika kisha pata uchambuzi wa kiintelijensia wa tukio hili la kihistoria

Tathmini ya kiintelijensia

Ikumbukwe tu kuwa sio tu kwamba tuhuma hizo za Jaji Mugasha ni za kwanza kabisa katika historia ya Tanzania kwa jaji kumtuhumu Rais kuvunja katiba, bali pia zimetokea wakati Rais Samia akilalamikiwa kuhusu mkataba kati ya Tanzania na Dubai ambao baadhi ya watu wanadai kuwa "nchi imeuzwa”.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More