"Kutekwa" Kwa Kiongozi Wa Umoja Wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) Ni Tukio Lililotengenezwa Kumchafua Mama Samia
Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia, hili tukio ni la kutengenezwa.




Kwa upande mmoja limelenga kumchafua Mama Samia Suluhu, kama inavyoonekana hapa chini
Ilhali kwa upande mwingine ni mkakati wa “kiki” kwa hiyo taasisi “mpya. “

Ngoma kabwe @Ngomakabwe3
#FREE_FAMBO mwenyekiti wa kamati ya uzinduzi wa Umoja wa kudai katiba mpya tanzania (UKUKAMTA) amekatwa na watu wasiojulikana alipokuwa buguruni akijiandaa na kikao cha wanakamati wenzake leo mchana. https://t.co/LQBsPLFVvrHuyo jamaa “aliyekamatwa na watu wasiojulikana” aliwahi kuhusishwa na tukio la utekaji huko nyuma




Awali “Umoja” huo ulifanya ziara hii



Uchunguzi wa haraka kwa kutumia vyanzo vya wazi (OSINT) wa alama ya reli #FreeFambo unaonyesha “traffic” kubwa kutoka Kenya kwa akaunti zinazohusishwa na taasisi moja inayofahamika kwa msimamo wake dhidi ya Mama Samia.
Uchunguzi zaidi unaendelea