Barua Ya Chahali

Share this post
"Kutekwa" Kwa Kiongozi Wa Umoja Wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) Ni Tukio Lililotengenezwa Kumchafua Mama Samia
www.baruayachahali.com

"Kutekwa" Kwa Kiongozi Wa Umoja Wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) Ni Tukio Lililotengenezwa Kumchafua Mama Samia

Evarist Chahali
May 28, 2021
1
Share this post
"Kutekwa" Kwa Kiongozi Wa Umoja Wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) Ni Tukio Lililotengenezwa Kumchafua Mama Samia
www.baruayachahali.com

Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia, hili tukio ni la kutengenezwa.

Twitter avatar for @Ngomakabwe3Ngoma kabwe @Ngomakabwe3
#FREE_FAMBO mwenyekiti wa kamati ya uzinduzi wa Umoja wa kudai katiba mpya tanzania (UKUKAMTA) amekatwa na watu wasiojulikana alipokuwa buguruni akijiandaa na kikao cha wanakamati wenzake leo mchana.
Image

May 27th 2021

3 Retweets5 Likes
Twitter avatar for @humanrightstzLHRC @humanrightstz
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinalaani kitendo cha Utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)
Image

May 28th 2021

83 Retweets265 Likes

Kwa upande mmoja limelenga kumchafua Mama Samia Suluhu, kama inavyoonekana hapa chini

Ilhali kwa upande mwingine ni mkakati wa “kiki” kwa hiyo taasisi “mpya. “

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
A couple of questions. Mwenyekiti wa Kamati ya UZINDUZI wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) meaning hiyo UKUKAMTA haijazinduliwa? Na kama ilizinduliwa, when did it happen?

Ngoma kabwe @Ngomakabwe3

#FREE_FAMBO mwenyekiti wa kamati ya uzinduzi wa Umoja wa kudai katiba mpya tanzania (UKUKAMTA) amekatwa na watu wasiojulikana alipokuwa buguruni akijiandaa na kikao cha wanakamati wenzake leo mchana. https://t.co/LQBsPLFVvr

May 28th 2021

2 Likes

Huyo jamaa “aliyekamatwa na watu wasiojulikana” aliwahi kuhusishwa na tukio la utekaji huko nyuma

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
I'm just being curious here. Fambo huyu wa UKUKAMTA "aliyetekwa na #WatuWasiojulikana" ndo huyuhuyu wa kwenye tukio la utekaji CUF? (Remember the FBI Rule)
Image
Image
Image

May 28th 2021

1 Retweet7 Likes

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
🤔 Note jina nililolipigia mstari
Image
Image

May 28th 2021

2 Retweets25 Likes

Awali “Umoja” huo ulifanya ziara hii

Twitter avatar for @THRDCOALITIONTANZANIA HUMAN RIGHTS DEFENDERS' COALITION (THRDC) @THRDCOALITION
Leo, Alhamisi Mei 6. 2021, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umefurahi kutembelewa na viongozi na wawakilishi kutoka Umoja wa wadau na wananchi katika Kudai Katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (UKUKAMTA).
Image
Image

May 6th 2021

2 Retweets10 Likes

Uchunguzi wa haraka kwa kutumia vyanzo vya wazi (OSINT) wa alama ya reli #FreeFambo unaonyesha “traffic” kubwa kutoka Kenya kwa akaunti zinazohusishwa na taasisi moja inayofahamika kwa msimamo wake dhidi ya Mama Samia.

Uchunguzi zaidi unaendelea

Share
Share this post
"Kutekwa" Kwa Kiongozi Wa Umoja Wa Kudai Katiba Mpya (UKUKAMTA) Ni Tukio Lililotengenezwa Kumchafua Mama Samia
www.baruayachahali.com
TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing