Kumbe Katibu Mkuu mpya Mambo Ya Ndani ni mshkaji wa Jiwe kitambo
Kuzungukwa na washkaji na "mapoti zake" kwaweza kuchangia anguko lake
![](https://substackcdn.com/image/fetch/w_1456,c_limit,f_auto,q_auto:good,fl_progressive:steep/https%3A%2F%2Fbucketeer-e05bbc84-baa3-437e-9518-adb32be77984.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fimages%2Fbc387b04-451f-48d9-904d-d70d3deec573_324x458.jpeg)
Naomba ieleweke kuwa hakuna sheria inayomkataza Rais kuteua marafiki zake. Na pia hakuna sheria inayotamka bayana kwamba teuzi za Rais zisielemee mkoa/kanda/kabila flani tu.
However, busara kidogo tu zingetosha kumfahamisha Rais Magufuli kwamba japo sheria haikatazi kujaza marafiki au watu kutoka mkoa/kanda/kabila flani tu, kuna athari kadhaa kufanya hiv…