Barua Ya Chahali

Share this post
Kozi ya #JinsiYaKuwaMtuBora: Kanuni 10 za "Maisha Yasiyo na Msongo" (Stress-Free Life)
www.baruayachahali.com
AdelPhil Online Academy

Kozi ya #JinsiYaKuwaMtuBora: Kanuni 10 za "Maisha Yasiyo na Msongo" (Stress-Free Life)

Evarist Chahali
Jan 17, 2022
Share this post
Kozi ya #JinsiYaKuwaMtuBora: Kanuni 10 za "Maisha Yasiyo na Msongo" (Stress-Free Life)
www.baruayachahali.com

1. Fuata njia sahihi, sio njia rahisi

2. Pigania haki kwa watu wote

3. Chagua marafiki zako kwa umakini. Jinsi utakavyokuwa (mtu wa aina gani) hutegemea marafiki ulionao.

4. Deni la fedha ni aina ya utumwa. Ishi huru na epuka deni.

5. Heshimu mipaka. Ipo kwa ajili ya kumlinda kila mmoja.

6. Noa na endeleza karama na vipaji kutoka kwa Mola wako.

7. Hakuna mlo …

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing