Barua Ya Chahali

Share this post

Kila anayeipenda Simba kwa dhati sio tu anapaswa kumsapoti Mo (@moodewji) bali pia kumtetea kwa nguvu zote dhidi ya wazushi wenye ajenda zao binafsi

www.baruayachahali.com

Kila anayeipenda Simba kwa dhati sio tu anapaswa kumsapoti Mo (@moodewji) bali pia kumtetea kwa nguvu zote dhidi ya wazushi wenye ajenda zao binafsi

Evarist Chahali
Jun 1, 2022
1
Share this post

Kila anayeipenda Simba kwa dhati sio tu anapaswa kumsapoti Mo (@moodewji) bali pia kumtetea kwa nguvu zote dhidi ya wazushi wenye ajenda zao binafsi

www.baruayachahali.com

Inauma. Inakera. Na inasikitisha kuona mtu ambaye sio tu amejitolea fedha nyingi, nguvu nyingi na muda mwingi kuifikisha klabu ya Simba ilipofika leo, namaanisha Mohammed Dewji aka Mo, akiandamwa na watu ambao hawajawahi kuwa na mchango wowote kwa klabu hiyo.

Kuna makundi mawili hivi yanayoendesha kampeni dhidi ya Mo. La kwanza ni watu wanaotamani kuona …

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing