Kijarida cha #ChahaliNaTeknolojia
Naomba tu kutoa taarifa kuwa jana nilituma kijarida cha #ChahaliNaTeknolojia japo nilichelewa kidogo, ilikuwa muda ya mchana kwa saa za hapa UK.
Kama hukupokea kijarida kwenye inbox yako, angalia kwenye Spam/Junk folder. Huenda email husika ipo huko maana nilituma kijarida kutoka platform nyingine (ya kawaida inaitwa Mailchimp), niliyotuma jana inaitwa …