Kifo Cha Mengi Na Kutekwa Mdude Chadema

Nianze toleo hili la #BaruaYaChahali kwa kuwashukuru nyote mlionitumia salamu za pole kutokana na mkasa niliouleza katika toleo lililopita.Naahidi kuwajibu kila mmoja wenu. Mungu awabariki sana.
Pia naomba nitumie fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislamu mfungo mwema wa Mwei Mtukufu wa Ramadhan. Kwa hapa Uingereza kuna waliaonza mfungu huu leo (Jumatatu)…