Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Kenya: Watanzania wengine watano wakamatwa Garissa wakielekea Somalia kujiunga na al-Shabaab

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Aug 07, 2023
∙ Paid
Share

Raia watano wa Tanzania waliotambuliwa kwa majina ya Muhamed Jahad Farah, Nadrik Mbwana Salumi, Saad Suleiman Saleh, Ali Issa Ali na na raia wa Uganda Hassan Tourabih Kintosa walikamatwa mjini Garissa, nchini Kenya, wakielekea Somalia kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture