Barua Ya Chahali

Share this post
Kama Ambavyo CCM Wanapelekeshana Na Gwajima, Ndivyo Chadema Wanavyoendeshana Mputa Na Kigogo
www.baruayachahali.com

Kama Ambavyo CCM Wanapelekeshana Na Gwajima, Ndivyo Chadema Wanavyoendeshana Mputa Na Kigogo

Evarist Chahali
Aug 19, 2021
Share this post
Kama Ambavyo CCM Wanapelekeshana Na Gwajima, Ndivyo Chadema Wanavyoendeshana Mputa Na Kigogo
www.baruayachahali.com

Yanayojiri CCM ambapo Mbunge wake wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima ameamua kumpinga Mama Samia Suluhu waziwazi kwenye suala la chanjo ya korona, ni mavuno ya upuuzi ambao chama hicho tawala umekuwa ukiufanya miaka nenda miaka rudi - kutumia dini kama mtaji wa kisiasa.

Na tabia hii haijaanza leo. Wakati wa harakati za kudai uhuru kutoka kwa wakolo…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing