Barua Ya Chahali

Share this post

Kada Chadema Ashauri Chama Hicho Kiwaondoe Mawakili Wanaomtetea Mbowe Ili "Kama CCM Wameamua Kumfunga (Mbowe) Wamfunge tu" Ni Baada ya Jaji Kuonyesha Upendeleo wa Waziwazi kwa Mawakili wa Serikali

www.baruayachahali.com

Kada Chadema Ashauri Chama Hicho Kiwaondoe Mawakili Wanaomtetea Mbowe Ili "Kama CCM Wameamua Kumfunga (Mbowe) Wamfunge tu" Ni Baada ya Jaji Kuonyesha Upendeleo wa Waziwazi kwa Mawakili wa Serikali

Evarist Chahali
Nov 9, 2021
Share this post

Kada Chadema Ashauri Chama Hicho Kiwaondoe Mawakili Wanaomtetea Mbowe Ili "Kama CCM Wameamua Kumfunga (Mbowe) Wamfunge tu" Ni Baada ya Jaji Kuonyesha Upendeleo wa Waziwazi kwa Mawakili wa Serikali

www.baruayachahali.com
Shahidi wa nane kesi ya kina Mbowe huyu hapa..., kesi yaahirishwa kwa muda  - Mwananchi

Niwe mkweli. Haikuwa rahisi kunukuu bandiko hili la kada huyu kinadkindaki wa Chadema huko Jamii Forums.

Haikuwa rahisi kwa sababu kama walivyo makada wengi wa CCM, kwa makada wa Chadema nao utakuwa mtu poa ukiongea yale tu yanayowapendeza, lakini ukiongea wasichopenda, utamwagiwa matusi. Mtu ninayemnukuu ameshanitusi mara kadhaa huko Jamii Forums kila …

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing