Jana nilitwiti kwa kimombo kwamba ACT-Wazalendo, kwa kutumia uzoefu wao wa siasa za maridhiano huko Zanzibar, na endapo wataweza kuhamishia uzoefu huo katika “siasa za Bara,” basi watakuwa katika nafasi nzuri ya kuwa mbadala tarajiwa wa CCM badala ya Chadema.