
Mada hii inahusu umuhimu wa kunijali mwenyewe ili uweze kuwajali wengine pia.
Mie nitakuwa mtu wa mwisho kukushawishi "uwe mtu mbaya" au katili (kama Bashite) au uwe na "roho mbaya" (kama Babake Bashite).
Kwa sababu uzuri kidogo wa sayari hii pekee tunayoishi unachangiwa na japo matone kidogo tu ya upendo, huruma, roho ya kusaidia wengine, nk.
Siwezi kusem…

