Barua Ya Chahali

Share this post
Mwaka Kamili Tangu Halima Mdee Na Wenzake 18 Waapishwe Kuwa "Wabunge wa Viti Maalum Chadema." Ukweli wa Kiintelijensia "Uliofichika" Kuhusu Sakata Hilo.
www.baruayachahali.com

Mwaka Kamili Tangu Halima Mdee Na Wenzake 18 Waapishwe Kuwa "Wabunge wa Viti Maalum Chadema." Ukweli wa Kiintelijensia "Uliofichika" Kuhusu Sakata Hilo.

Evarist Chahali
Nov 25, 2021
Share this post
Mwaka Kamili Tangu Halima Mdee Na Wenzake 18 Waapishwe Kuwa "Wabunge wa Viti Maalum Chadema." Ukweli wa Kiintelijensia "Uliofichika" Kuhusu Sakata Hilo.
www.baruayachahali.com

Kwa mujibu wa kada mmoja wa Chadema huko Jamii Forums, jana ni mwaka kamili tangu Halima Mdee na wenzake 18 watangazwe na kuapishwa na Spika kuwa wabunge wa viti maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Makala hii inafunua “ukweli uliofichika” kuhusa sakata hilo linalohusisha pande nne, namely,

  • Chadema

  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Spika

  • Halima Mdee na wenzake 18

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing