Idara ya Usalama wa Taifa Yatangaza Nafasi za Kazi | Ni Mara ya Kwanza Katika Historia ya TANZANIA
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Idara ya Usalama wa Taifa imetangaza nafasi za kazi kwa Watanzania wenye sifa stahili.
Maelezo kamili ikiwa ni pamoja na sifa za waombaji na jinsi ya kutuma maombi ya kazi hiyo yanapatikana kwa kubonyeza kitufe hicho hapo chini


