Huyu Hapa Kijana Anayetumiwa na WASIOJULIKANA Kufanya Ulawiti kwa Wanaotekwa | Ajigamba Kuwa ni Afisa wa Idara ya Usalama wa Taifa
Kijarida hiki kimefahamishwa kuwa kija huyo pichani anatumiwa na genge la WATU WASIOJULIKANA kufanya vitendo vya kiharamia dhidi ya watu mbalimbali wanaotekwa na genge hilo.
Jana, baada ya kuletewa taarifa husika, Jasusi aliweka mabandiko kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuuliza kuhusu identity ya kijana huyo.


