Huku Jiwe Akiongopa Waziwazi Kuhusu January, Mwiny Nae Asikitishwa
Mambo Ni Mengi Lakini Muda Ni Mchache
Kwa mujibu wa latest info, wakati picha hii inadaiwa kutompendeza Mzee Mwinyi

Jiwe nae anashutumiwa kwa kutokuwa mkweli kuhusu sababu za kumfukuza kazi January.

Lakini kubwa zaidi ni mustakabali wa kisiasa wa mwanasiasa huyo kijana, na mustakabali wa “kundi” lake. Je Zitto amemwaga dondoo kuhusu hilo katika “utetezi” wake kwa January?
Unaweza kupata taarifa kamili na uchambuzi kwa kujiunga uanachama wa #BaruaYaChahali
Jinsi ya kujiunga: Uanachama kwa mwaka mzima ni sh100,00 au sh 10,000 kwa mwezi. Tuma mchango wako kwa m-pesa namba 0767632516 (jina Khadija Katule). Kwa walio nje ya Tanzania, unaweza kuchangia kwa KUBONYEZA HAPA.
Endapo unataka kuondolewa kwenye orodha ya wanaotumiwa #BaruaYaChahali JIONDOE HAPA.
Ndimi mtumishi wako
Evarist Chahali
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.