Huku Jiwe Akificha Ripoti ya CAG, Mwanae Bashite Amnyanyapaa Pierre
www.baruayachahali.com
Tukio lililotawala zaidi katika majadiliano mbalimbali katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita ni kitendo cha Daudi Albert Bashite kunyanyapaa “Pierre Mzee wa Likwidi.”