Miongoni mwa mambo yaliyokera sana katika utawala uliopita ni kitendo cha viongozi wa dini sio tu kukalia kimya maovu mengi yaliyokuwa yakiendelea wakati huo bali pia kuushangilia utawala huo hata pale palipostahili kuukemea.
Fast forward takriban mwaka mmoja baadaye, jana viongozi wa dini walikutana na Mama Samia, na jambo moja muhimu katika mkutano huo…


