Mfanyabiashara Mohammed Dewji wa Tanzania ameendeleza rekodi yake ya kuwa mtu tajiri kuliko wote sio Tanzania tu bali pia ukanda mzima wa Afrika Mashariki na Kati .
Dewji, maarufu kama “Mo”, amekuwa katika nafasi hiyo kwa miaka kadhaa mfululizo.
Kinachovutia zaidi kuhusu mfanyabiashara huyo ni kwamba licha ya utajiri wake mkubwa, ni mtu mcheshi na mweny…


