Hivi Ndivyo ACT-Wazalendo Inavyohujumiwa Na Hawa Ndio Wanaoihujumu
Magufuli Ana Hofu Kubwa Kuwa Kuungana kwa Zitto Na Maalim Seif Kwaweza Kumng'oa 2020

Majasusi hutegemea sana hisia ya sita ((6th sense) katika kufanya baadhi ya maamuzi yao. Na hisia ya sita ilinituma kutowaandalia na kuwatumia #BaruaYaChahali kwa sababu nafsi ilikuwa ikinitaka nisubiri. Awali nilipanga kuandika kuhusu jinsi CCM ya Magufuli ilivyokumbwa na kiwewe baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad aka Maalim Seif k…