Nimeshatanabaisha mara kadhaa kwamba kuna watu wanaonufaika na mifarakano ndani ya Tanzania yetu. Na manufaa makubwa wanayopata ni ya kifedha.
Naomba ieleweke simaanishi kila anayefanya harakati kwa ajili maslahi ya Tanzania yetu au wananchi kwa ujumla ananufaika binafsi. Na simaanishi kuwa ni kosa la jinai kunufaika kwenye harakati za maslahi ya jamii.…


