Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Habari njema kwa Watanzania kuhusiana na muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa unaotarajiwa kupitishwa leo huko Bungeni
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Habari njema kwa Watanzania kuhusiana na muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa unaotarajiwa kupitishwa leo huko Bungeni

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 08, 2023
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Habari njema kwa Watanzania kuhusiana na muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa unaotarajiwa kupitishwa leo huko Bungeni
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Kwa mujibu wa ratiba za bunge, muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa 2023, itajadiliwa leo, na inatarajiwa kupitishwa bila kipingamizi licha ya kuwepo kwa maeneo kadhaa yanayotishia haki za kiraia.

Kwamba muswada huo utapitishwa kirahisi wala sio suala la kuhoji kwa sababu wabunge wa chama tawala CCM wana kazi moja tu ya kuwa mhuri kwa kila kinacholetwa bungeni na serikali.

Lakini pia kumekuwa na taarifa za vitisho dhidi ya yeyote yule atakayejaribu kukwamisha muswada huo ulioletwa bungeni kwa hati ya dharura.

Kama hujausoma muswada huo, upitie hapa chini pamoja na uchambuzi mfupi kuhusiana nao

Soma tafsiri ya Kiswahili ya muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa 2023, na uchambuzi wa "mazuri" na "mabaya" yake

Evarist Chahali
·
May 27, 2023
Soma tafsiri ya Kiswahili ya muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa 2023, na uchambuzi wa "mazuri" na "mabaya" yake

Jasusi amefanya tafsiri ya muswada wa Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 na kufanya uchambuzi wa “mazuri” na “mabaya” ya muswada huo. Baada ya kusoma tafsiri hii, itakuwa rahisi kufahamu kwanini, kama alivyolalamika Kiongozi wa ACT-Wazalendo Mheshimiwa Zitto Kabwe, mjadala kuhusu muswada huo huko Bungeni unafanyika kwa siri.

Read full story

Hata hivyo, pamoja na ukweli kwamba “Tanzania baada ya kupitishwa kwa sheria hiyo haitokuwa the same”, kuna habari njema.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More