Guest Column: Maoni Ya Mdau Kwako Mama Samia Kuhusu Passport, Kodi Ya Majengo Na Leseni Za Magari
Kolamu ya mgeni ina makala ya mdau huyu
MASWALI YANAYOJIBIKA
Serikali ya Awamu ya Sita imejipambanua kuwa na lengo la kufungua nchi ili iweze kupiga hatia zilizoanzwa kuelekea kwenye uchumi wa kati Nafasi ya juu. Muelekeo huu wa serikali ni muhimu sana ukaangazia maeneo yote ambayo yanaweza kuwa ni vikwazo kwa nchi kufikia huko.
Kuna kero na changamoto ndo…