Barua Ya Chahali

Share this post

[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka juzi nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu

www.baruayachahali.com

[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka juzi nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu

Mar 12
Share this post

[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka juzi nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu

www.baruayachahali.com

Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli. Kabla ya tangazo langu hilo, tayari kulikuwa na tetesi kadhaa kwamba afya ya kiongozi huyo ilikuwa tete.

Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Hata hivyo, kwa kupitia vyanzo vyangu vya kuaminika, nilikuwa mtu wa kwanza kutangaza kifo hicho. Lakini madhila yaliyonikumba baada ya kuweka taarifa hiyo hadharani, sintoyasahau.

Twitter avatar for @Chahali
Jasusi @Chahali
#BreakingNews: Tanzanian President President John Magufuli has passed away at 5.30pm (EAT) at Mzena Hospital in Dar es Salaam. However, the Vice President hasn't been informed.
8:45 PM ∙ Mar 12, 2021
799Likes536Retweets
Twitter avatar for @CisNyakundi
Cyprian, Is Nyakundi @CisNyakundi
Shock As Ex-Intelligence Officer @Chahali Confirms Magufuli's Death
cnyakundi.comShock As Ex-Intelligence Officer Confirms Magufuli’s Death - Cyprian Is NyakundiCAPTION: Tanzanian ex-spy and political analyst Evarist Chahali who has “confirmed” Magufuli’s death through his populous Twitter account Hours after Prime Minister Kassim Majaliwa denied multiple media reports that Tanzanian President John Pombe Magufuli was incapacitated as a result of severe COVI…
10:01 PM ∙ Mar 12, 2021
420Likes117Retweets

Nilitukanwa, nililaaniwa, nilitishwa, na kwa hakika laiti hao waliokerwa wangeweza kunifikia, bila shaka muda huu ningekuwa marehemu. Lakini sio tu nilitangaza kifo hicho bali pia niliwafahamisha Watanzania kuhusu “ukweli” wa afya ya kiongozi huyo muda wote, huku watu mbalimbali “wakilishwa matango pori” kuwa yupo Nairobi, mara yupo India.

Twitter avatar for @Chahali
Jasusi @Chahali
My highly trusted source confirms again not only that @MagufuliJP is in Dar but had never left the city in the first place. Both "Magufuli is in Nairobi" and "Magufuli has been flown to India" were TISS' "dezinformatsiya" (disinformation). Is he alive or not? I can't answer that
Image
2:41 AM ∙ Mar 12, 2021
24Likes5Retweets

Hatimaye, siku tano baadaye, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati huo, Mama Samia Suluhu Hassan alitangaza kuwa kweli Magufuli amefariki.

Twitter avatar for @millardayo
millardayo @millardayo
BREAKING: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefariki dunia, Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu ametangaza taarifa za kifo hicho. #RIPRaisMagufuli 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
8:30 PM ∙ Mar 17, 2021
777Likes129Retweets

Nami ikawa ahueni kwangu.

Baadhi ya walionitukana, walikuja kuniomba msamaha japo haikusaidia kitu. Hata hivyo nafarijika kwa kuwatumikia Watanzania wenzangu ipasavyo na kuendelea kuwa chanzo cha kuaminika cha habari mbalimbali.

Kusikiliza maelezo kamili kuhusu kilichojiri hasa siku hiyo hadi msiba ulipotangazwa rasmi, BONYEZA HAPA (dakika 8 tu)

Au sikiliza episode hiyo hapa Spotify

Jumapili njema.

MENGINEYO

Share this post

[Free Access] Machi 12 kama leo mwaka juzi nilitangaza kifo cha JPM...siku 5 zilizofuata zilikuwa balaa kwangu - nilitukanwa, nilitishwa, nililaaniwa...hadi serikali ilipothibitisha nilichotaarifu

www.baruayachahali.com
Previous
Next
Comments
TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing