Fahamu Hatua Tano/Saba Za MAJONZI, Zaweza Kusaidia Nyakati Hizi za #Coronavirus

Leo hapa Uingereza tumeanza "lockdown" ambapo sasa sio hiari kukaa ndani bali lazima.
Hatua hii haijawahi kamwe kuchukuliwa na nchi hii lakini "kuzuwia mikusanyiko na makutano (contact) yaonekana kuwa ndio njia yenye ufanisi zaidi kuzuwia kusambaa kwa maambukizi.
Twende kwenye mada. Wakati watawala huko wanaongea maneno matamu ya kuwapa watu matumaini, u…