Exclusive: Waziri mwandamizi awalipa watu kutukana viongozi wenzake mtandaoni, waraka wa "kusifu uchapakazi wake" wasambazwa huku akikabiliwa na tuhuma za ufisadi
Uchunguzi uliofanywa na kijarida hiki umebaini kwamba Waziri mmoja mwandamizi anawalipa baadhi ya watu kuwatukana viongozi wenzie kwenye mitandao ya kijamii hususan Twita.