Rais Felix Tshisekedi huenda akalazimika kuteua mkuu mpya wa Idara ya Usalama ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ANR, kufuatia kudhoofika kwa afya ya Mkuu wa Idara hiyo, Jean-Hervé Mbelu Biosha.
Mbelu Biosha ambaye aliteuliwa mnamo 2021 anaripotiwa kupelekwa Israel kwa matibabu ya dharura na nafasi yake ilitarajiwa kukabidhiwa kwa mtu mwingine.
Naibu wa…



