Barua Ya Chahali

Share this post

Dhamira nzuri ya Mama @SuluhuSamia kufanya mageuzi sekta ya usalama haiwezi kufanikiwa endapo uhuni huu wa Idara ya Usalama wa Taifa utaruhusiwa kuendelea

www.baruayachahali.com

Dhamira nzuri ya Mama @SuluhuSamia kufanya mageuzi sekta ya usalama haiwezi kufanikiwa endapo uhuni huu wa Idara ya Usalama wa Taifa utaruhusiwa kuendelea

Evarist Chahali
Sep 24, 2022
9
Share this post

Dhamira nzuri ya Mama @SuluhuSamia kufanya mageuzi sekta ya usalama haiwezi kufanikiwa endapo uhuni huu wa Idara ya Usalama wa Taifa utaruhusiwa kuendelea

www.baruayachahali.com
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana Jasusi aliripoti uwepo wa maafisa watatu wa Idara ya Usalama wa Taifa hapa Uingereza ambao “walijichomeka” kwenye msafara wa Mama Samia alipokuja kwenye mazishi ya Malkia Elizabeti wa Pili yaliyofanyika Jumatatu iliyopita.

Unaweza kusoma bandiko husika hapa chini

Barua Ya Chahali
Dear Mama @SuluhuSamia kuna maafisa watatu wa Idara ya Usalama wa Taifa waliokuwemo kwenye msafara wako wa mazishi ya Malkia, wamebaki hapa UK kwa ajili ya "kazi maalum" ambayo hujaiidhinisha
Mama Samia alipokuja hapa Uingereza kwa ajili ya mazishi ya Malkia Elizabeti wa Pili, Jasusi alitwiti…
Read more
6 months ago · 2 likes · Evarist Chahali

Baadhi ya wasomaji walimdhihaki Jasusi wakidai kwamba “anavuna alichopanda kwa kijipende…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing