Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Dear Mama @SuluhuSamia kuna watendaji wanakufanyia dhihaka: ajali ya Naibu Waziri, fumanizi lililopelekea ajali, kifo cha binti anayedaiwa kuwa nae, na polisi kuficha ukweli.
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Dear Mama @SuluhuSamia kuna watendaji wanakufanyia dhihaka: ajali ya Naibu Waziri, fumanizi lililopelekea ajali, kifo cha binti anayedaiwa kuwa nae, na polisi kuficha ukweli.

Baadhi ya watendaji wa serikali "wameota mapembe" na wanafanya "insubordination" kwa Rais waziwazi

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 06, 2023
∙ Paid
6

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Dear Mama @SuluhuSamia kuna watendaji wanakufanyia dhihaka: ajali ya Naibu Waziri, fumanizi lililopelekea ajali, kifo cha binti anayedaiwa kuwa nae, na polisi kuficha ukweli.
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Utangulizi

Jasusi amepokea maombi mengi kufuatilia utata uliotawala kwa zaidi ya wiki sasa kuhusu ajali ya Naibu Waziri mmoja, na wadau wengi kumtaka Jasusi afuatilie ukweli wa tukio hilo.

Lakini kana kwamba utata uliotawala ajali hiyo ya Mheshimiwa haukutosha, kumeibuka utata mwingine mkubwa kutokana na kifo cha binti mmoja ambaye kinahusishwa na tukio la awali.

Wakati yote haya yakitokea, ni wazi kuwa kuwa Rais Samia Suluhu anadhihakiwa kwa sababu laiti wanauhusisha na matukio hayo mawili wangehofia mamlaka ya uteuzi, wasingeendeleza maigizo ya kitoto yanayoendelea.

Makala hii itahitishwa kwa ushauri kwa Mama Samia kuhusiana na sakata hili.

Nini hasa kimetokea?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More