Dear Mama Samia, Sikiliza Kilio Hiki Cha Wanao Wanaoteseka Huko JKT. Wanakulilia Na Kuomba Uwanusuru
Dear Mama Samia, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee. Baada ya salamu hizo, naomba niwasilishe ujumbe huu mrefu kidogo niliotumiwa na wanao wanaoitumikia nchi yetu huko JKT. Naomba niwasilishe ujumbe husika kama nilivyoupokea.
Brother habari yako, samahani Bro!! Mimi ni kijana wa JKT Op Mererani ambao nipo kwenye lile ku…