Nimetumiwa barua hii na mtu aliyejitambulisha kama kiongozi wa wafanyakazi na kuniomba nifikishe kilio chao kwa Rais Samia Suluhu. Nawasilisha kama nilivyopokea [nimehariri sarufi tu]
Habari mkuu, mimi ni [jina limehifadhiwa] ni kiongozi wa wafanyakazi 700+ wa kampuni ya TanzaniteOne Mining Ltd ya Mererani.
Kampuni hiyo ilikuwa inaundwa kwa ubia wa maka…


