Dear Magufuli, Iweje Athari Kwa Nchi 8 Ziwe Muhimu Kuliko Uhai Wa Watanzania?
www.baruayachahali.com
Kwa mara nyingine tena, Rais Magufuli amewathibitishia Watanzania kuwa sio tu hahangaishwi na janga la korona bali pia hathamini uhai wao. Kama mzaha vile, baada ya kupotea tangu Machi 28 mwaka huu,