Dear Fatma Karume, pole kwa kutukanwa na baadhi ya wana-Chadema. Hata hivyo, wewe na Maria "mmewalea" sana hawa watukanaji mtandaoni
Nianze kwa kutoa pole kwa matusi ambayo mwanaharakati Fatma Karume amekuwa ukivurumishiwa na baadhi ya wana Chadema ambao hawakupendezwa na uamuzi wake wa kwenda kutoa maoni kwenye Kikosi Kazi cha Rais kuhusu masuala ya siasa.
Hata hivyo, huenda wahuni hao wasingeweza kuwa na jeuri ya kumtukana mwanasheria huyo laiti yeye na mwenzie Maria wangechukizwa …