Jana, Didier Abdallah Mlawa aka Kigogo aliweka hadharani namba ya simu ya Mheshimiwa Freeman Mbowe huko kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.
Sasa, kisheria, ni kosa la jinai kuweka taarifa za binafsi za mtu hadharani bila idhini yake.
Lakini kwa Twitter, moja ya makosa yanayoweza yanayochukuliwa kwa uzito mkubwa kiasi cha kuweza kuepelekea akaunti ya m…


