Uzinduzi wa Dokumentari ya Mnaija David Hundeyin Kumsafisha Samia Kuhusu Mauaji ya Okt 29 Uliopangwa Jana UMEYEYUKA 🤨
Filamu ya uchunguzi (documentary) ya David Hundeyin iitwayo What Happened on October 29? ilitangazwa kuonyeshwa jijini Dar es Salaam mnamo tarehe 29 Mei 2026. Siku moja baadaye, hakuna ukumbi, picha, wala uthibitisho wowote uliojitokeza. Ujasusi unakadiria, kwa kiasi fulani cha uhakika, kwamba awamu hiyo ya Tanzania ilidhibitiwa au ilifutwa kimyakimya, …


