Barua Ya Chahali

Share this post

Chadema vs Ndugai: Nani Anasema Ukweli, Anaongopa?

www.baruayachahali.com

Chadema vs Ndugai: Nani Anasema Ukweli, Anaongopa?

Evarist Chahali
May 7, 2021
2
Share this post

Chadema vs Ndugai: Nani Anasema Ukweli, Anaongopa?

www.baruayachahali.com

Sakata la “wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chadema,” litabaki kuwa moja ya songombingi za kisiasa zilizodumu kwa muda mrefu. Hata hivyo, kuna namna rahisi tu ya kumaliza sakata hilo.

Kwa kifupi kabisa, sakata hilo lilianza kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majina ya wanachama 19 wa Chadema ambao kwa mujibu wa maelezo ya Tume hiyo, walipitishwa n…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing