CCM Acheni Uhuni, Msiwe Watu wa Kutaka Sifa tu Ila Mkikosolewa Inakuwa Uhaini. Mama Samia ni Rais Wetu Sote, Sio wa Ninyi Wahuni Peke Yenu 😡
Jana nilitwiti kuhusu picha hiyo juu inayomuonyesha Rais Samia Suluhu akiagwa huko Misri na “waziri wa ngazi ya chini.” Niliandika