Ni wazi kuwa yote mema yaliyotarajiwa kufuatia mkutano wa kihistoria kati ya Mama Samia Suluhu na Tundu Lissu huko Brussels, Ubelgiji hapo Jumatano, yameelekea mtaroni.
Japo ilitarajiwa mapema kwamba ‘sehemu ya pili ya mlinganyo’ kuhusu mkutano huo wa Mama Samia na Lissu ingekamilika baada ya uamuzi wa Jaji Joachim Tiganda kuhusu iwapo Mbowe na wenzake …


