🎥 Video ya Kushtua Yatikisa Kampeni za Uchaguzi
Katika hatua isiyotarajiwa, Brenda Biya, binti pekee wa Rais wa Cameroon Paul Biya, amewataka wananchi wasimchague baba yake kwenye uchaguzi wa urais unaotarajiwa hivi karibuni. Kupitia video ya TikTok iliyopigwa huko Uswisi na kuchapishwa Alhamisi, Brenda alitangaza kuwa hatampigia kura Paul Biya na akawa…


