Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Simulizi za Jasusi

Maajabu huko Cameroon: Binti wa Rais Brenda Biya Awataka Wananchi Kutompigia Kura Baba Yake Paul Biya

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 21, 2025
∙ Paid

🎥 Video ya Kushtua Yatikisa Kampeni za Uchaguzi

Katika hatua isiyotarajiwa, Brenda Biya, binti pekee wa Rais wa Cameroon Paul Biya, amewataka wananchi wasimchague baba yake kwenye uchaguzi wa urais unaotarajiwa hivi karibuni. Kupitia video ya TikTok iliyopigwa huko Uswisi na kuchapishwa Alhamisi, Brenda alitangaza kuwa hatampigia kura Paul Biya na akawa…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture