Picha hii ya pamoja kati ya Rais Joe Biden wa Marekani na viongozi wa Afrika waliohudhuria “US - Africa Summit 2022” inakera kwa kila anayeguswa na nafasi ya mwanamke katika jamii.
Picha hii ni kielelezo kingine kuwa wapenda usawa - ikiwa ni pamoja na haki za wanawake - wana kazi ya ziada kukabiliana na mfumo dume kwa sababu watawala wetu wanaukumbatia …



