Barua Ya Chahali

Share this post
Bashite Kupigwa Marufuku Marekani, Mlengwa Ni Baba Yake (Magufuli)
www.baruayachahali.com

Bashite Kupigwa Marufuku Marekani, Mlengwa Ni Baba Yake (Magufuli)

Kuna Dalili Japo Kiduchu Za Shinikizo Kutoka Nje Dhidi Ya Utawala Wa Kidikteta Wa Magufuli

Evarist Chahali
Feb 1, 2020
15
Share this post
Bashite Kupigwa Marufuku Marekani, Mlengwa Ni Baba Yake (Magufuli)
www.baruayachahali.com

Jana ilikuwa siku ya mwisho wa mwezi Januari, mwazi wa kwanza kwa mwaka huu 2020, ambao kwa Watanzania una umuhimu wa kipekee. Oktoba - miezi minane tu kutoka sasa - Watanzania watakuwa na fursa adimu dhidi ya kumhukumu Rais Magufuli na utawala wake wa kidikteta.

Na jana itabaki kwenye kumbukumbu za Watanzania wengi baada ya serikali ya Marekani kutangaz…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing