Bashite Kupigwa Marufuku Marekani, Mlengwa Ni Baba Yake (Magufuli)
Kuna Dalili Japo Kiduchu Za Shinikizo Kutoka Nje Dhidi Ya Utawala Wa Kidikteta Wa Magufuli
Jana ilikuwa siku ya mwisho wa mwezi Januari, mwazi wa kwanza kwa mwaka huu 2020, ambao kwa Watanzania una umuhimu wa kipekee. Oktoba - miezi minane tu kutoka sasa - Watanzania watakuwa na fursa adimu dhidi ya kumhukumu Rais Magufuli na utawala wake wa kidikteta.
Na jana itabaki kwenye kumbukumbu za Watanzania wengi baada ya serikali ya Marekani kutangaz…