Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Askofu Mwamakula Amuonya Magufuli, Spika na Wabunge Kuhusu Kuondoa Ukomo wa Urais

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 10, 2020
∙ Paid
Share

Naiwasilisha kama nilivyokutana nayo huko Jamii Forums:

ONYO KWA WABUNGE, SPIKA, NA RAIS MAGUFULI

Nimemsikia Mbunge mmoja akiongea Bungeni akitaka Bunge libadilishe Katiba ya Nchi ili kumfanya Rais Magufuli aendelee kutawala hata baada ya kumaliza kipindi chake cha kikatiba cha miaka 10. Kama hilo halitoshi, Spika Ndugai amesikika akimhakikishia Mbunge hu…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture